msaada

msaada

babumapunda

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
4,643
Reaction score
3,301
nimekunywa konyagi,bt nina dose ya kikohozi ya dawa inayoitwa ZECUF,

je,nikinywa dawa ntapata madhara au haiwez kuniletea madhara?

na kama ntapata madhara,je ni yapi hayo?
 
Mkuu konyagi ni kitu muhimu sana kuliko maisha yako?
 
Back
Top Bottom