Awali ulikua umenyooka?
Nini kimesababisha ukapinda?
ndio awali ulikuwa umenyooka.
kilicho sababisha kupinda ni kuvaa chupi masaa 24
Chupi?!ndio awali ulikuwa umenyooka.
kilicho sababisha kupinda ni kuvaa chupi masaa 24
mmh normer kwl mshkaj wng!.Nyoosha na pas ya mkaa
Kijana acha uwoga...kupinda kwa uume ni jambo la kawaida na wala halina athari na uwezo wako wa kujamiana.
Hivyo punguza wasiwasi na endelea na maisha yako kama kawaida, kwani hakuna dawa ya kuweza kuufanya unyooke.