msaada

Broker...

Member
Joined
Jan 31, 2012
Posts
38
Reaction score
13
Naomba anayeweza kuniambia kama ni ugonjwa au ni hali tuu ya kawaida inayoweza kumtokea mtu..
kisa chenyewe ni hivi kuna msichana nilikuwa na mahusiano nae kwa takribani miezi 10 hivi akaja akaanza kudate na mtu mwingine sasa shida inakuja pale ninapotaka kuanzisha uhusiano a mtu mwingine inakuwa shida nashindwa kumsahau huyo wa zamani mpaka inapelekea naona kama ugonjwa yaani nakuwa na msongo wa mawazo sielewi hata ni nin ....kama ni ugonjwa nin tiba yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…