habari wana jamii forums,kuna rafk yangu alienda kusoma uganda kwa sababu yeye alikuwa hana requirement za credit tatu kwenda advance,kamaliza advance uganda kafaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza uganda,sasa anaataka kusoma tanzania,je ataweza soma tanzania?maana nasikia TCu wanataka mtu o level awe na credit tatu,je kuna njia nyngine ya kuwa admitted chuo'?