Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 319
Dr,nahitaji msaada,mm nilianguka bafuni,baada ya kupiga ex ray nikaonekana nina flacha,nikawekwa P.O.P,KWAKWELI NILIKUWA NAUMIA SANA NA HIYO P.O.P.nikaitoa,mguu bado unavimba,unakuwa mweusi na ngozi inachunika je nifanyeje?nikamuone DR.yupi atanisaidia?