Nina matatizo ya kua na muwasho mkali sehem za njia ya haja kubwa ni muwasho mkali hasa nikitoka kujisaidia, nimejaribu kutumia dawa za kienyeji lakini hakuna mafanikio naomba msaada nitatizo gani lilonisibu. Nakosa amani.
Tumia cream moja inaitwa SKINEALNina matatizo ya kua na muwasho mkali sehem za njia ya haja kubwa ni muwasho mkali hasa nikitoka kujisaidia, nimejaribu kutumia dawa za kienyeji lakini hakuna mafanikio naomba msaada nitatizo gani lilonisibu. Nakosa amani.