Chukua Haba Sawda kisha ukaange kwenye moto kidogo na utie kwenye kitamba cheupe na mgonjwa awe ananusa kila mara. Pia dawa hii inasaidia kwa kuumwa na kichwa.
Kizunguzungu husababishwa na mambo mengi mfano: 1-Upungufu wa damu mwilini 2-kukosa kulala kwa uzuri 3-Mafikra yakizidi 4-Kukosa kula vizuri.cc.@Abdallah kimwaga
Kizunguzunguni hali ya kupoteza utambuzi na uimara [SUP][1][/SUP] inaweza kutumika kwa maana ya kuhisi kuzunguka, udhaifu wa misuli, inachukuliwa kama kutokuwa na uimara [SUP][2][/SUP] au kwa hisia zisizo maalum kama vile Kizunguzungu au upumbavu. [SUP][3][/SUP] Mtu anaweza kupata kizunguzungu kwa kushiriki shughuli kama za kuzunguka
Kisulisuli ni neno maalumu la kimatibabu linalotumika kuelezea hisia ya kuzunguka au kuhisi vitu vya mazingira vinakuzunguka Watu wengi wamekuta kisulisuli kusumbua sana na mara nyingi inatarifiwa kuhusiana na kichefuchefu na kutapika Hii inawakilisha asilimia 25 za kesi za matukio ya kizunguzungu. [SUP][4][/SUP]
Ukosefu wa msawazo ni hisia za kutokuwa kwenye usawa,na mara nyingi kuanguka kwa kufuata mwelekeo maalumu ni sifa yake kuu Hali hii mara nyingi haihusishwi na kichefuchefu au kutapika.
hali yakupoteza fahamu ni ubongo hewa, udhaifu wa misuli na hisia za kukata tamaa kinyume na kuzirai, ambayo ni kweli watazimia.
kizunguzungu kisicho lasimi mara nyingi ni chanzo cha magonjwa ya akili . Ni utambuzi wa kuzingatiwa kwa upekee na wakati mwingine kinaweza kusababiswa na kupumua kwa kasi. [11]
{0kiharusi{/0} ni chanzo cha kizunguzungu pekee katika 0.7% ya watu waliokuwamo kwenye chumba cha dharura. [SUP][4]
[/SUP]hali zinazoendana na uuguzi(tibabu)
Hii ni orodha ndogo kwa sababu kizunguzungu ni dalili ya kawaida kwa dalili za magonjwa mengi Hata hivyo, vipengele vya kawaida vinaweza kuhahinishw kama ifuatavyo: 40% vestiburi ya pembeni inayofanya kazi vibaya, 10%jeraha kwenye mfumo mkuu wa fahamu, 15% ugonjwa wa akili, 25% kuzirai / kukosa msawazo, na 10%kizunguzungu kisicho lasimi. [SUP][5][/SUP] Hali ya matibabu ambayo mara nyingi ina'kizunguzungu' kama dalili ni pamoja na: [SUP][5][/SUP] [SUP][6][/SUP] [SUP][7][/SUP] [SUP][8][/SUP]
ujauzito
shinikizo ya damu kuwa chini (msukumo kuwa chini))
upungufu wa hewa safi (haipoksemia)
upungufu wa madini chuma mwilini(safura)
sukari kushuka(hypoglesia)
matatizo kwenye homoni (kwa mfano, ugonjwa wa tezi, hedhi, mimba)
tatizo la kuwa na hofu au wasiwasi
kupumua kwa kasi
wasiwasi
kunyongonyea au kufadhaika
kupoteza uwezo wa kuona , usawa, na uwezo wa kupokea matambuzi harisi
kupatwa tatizo la misuli
ugonjwa wa minere
vestibuli ya mishipa ya fahamu
uvimbe katika sikio la ndani
uvimbe katika sikio la
kupoteza hisia za kusikia
kuwa na mwendelezo wa magonjwa sugu
gonjwa linalosababishwa na mdudu anayeitwa Tolosa
kipanda uso
kushikwa na misuli
Taratibu
hali nyingi husababisha kizunguzungu kwa sababu sehemu mbalimbali za mwili zinahitajika kutunza usawa ikiwa ni pamoja na kudumisha usawa ndani ya sikio, macho, misuli, mifupa, na mfumo wa fahamu. [SUP][7][/SUP] sababu za kawaida zinazoweza kusababisha kizunguzungu ni pamoja na:
damu kidogo kupelekwa kwenye ubongo kutokana na:
kuanguka ghafla kwa shinikizo la damu [SUP][7][/SUP]
matatizo ya moyo au kupasuka kwa ateri[SUP][7][/SUP]