Yasin Yahya
Member
- Jan 18, 2013
- 33
- 0
Hbr zenu wakubwa?
Nimemaliza form 4 mwk jana nimepata
4-30
yaani nimepata
B/Keepng =D
Commerce =D
Biology =D
Math =C
Nilienda kutafuta kituo kw ajili ya kurudia mthani,nikapata nikalipia kila kitu but kuna watu wengine walinishauri nitafute chuo.
Coz kurudia wanadai kunazingua.
Mi niliwasikiliza nikaenda kutafuta chuo na nikapeleka maombi.
Bado majibu hayajatoka ya chuo.
Je?kutofanya mtihani kuna weza kuniathir kitu gani?
Vp kuhusu mu0na wako naweza kupiga paper na huku nikiendelea na chuo endapo nita chaguliwa?au niachane na kurudia paper na nisome chuo endapo nitachaguliwa?
Msaada wakubwa
Nimemaliza form 4 mwk jana nimepata
4-30
yaani nimepata
B/Keepng =D
Commerce =D
Biology =D
Math =C
Nilienda kutafuta kituo kw ajili ya kurudia mthani,nikapata nikalipia kila kitu but kuna watu wengine walinishauri nitafute chuo.
Coz kurudia wanadai kunazingua.
Mi niliwasikiliza nikaenda kutafuta chuo na nikapeleka maombi.
Bado majibu hayajatoka ya chuo.
Je?kutofanya mtihani kuna weza kuniathir kitu gani?
Vp kuhusu mu0na wako naweza kupiga paper na huku nikiendelea na chuo endapo nita chaguliwa?au niachane na kurudia paper na nisome chuo endapo nitachaguliwa?
Msaada wakubwa