msaada

AfricaUnited

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2010
Posts
2,367
Reaction score
1,293
wakuu naskia pale lugalo military supermaket wanauza vitu bei rahisi,sasa mwenye kujua anijuze kama naweza pata laptop pale kama ni bei raisi.kuhusu kitambulisho .cha jesh haina shida.
 
kwa wanafunzi haina shida,ukifika tu getini utaonyesha kitambulisho chako cha chuo[ID] baada ya hapo utaruhusiwa kuingia ndani,kila kitu kipo na kwa bei rahisi,karibuni UDSM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…