msaada

Jerry one

Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
35
Reaction score
5
hi.... i salute u in da name of our country.jaman mm nna case ya mirathi yenyeumri wa miaka kumi sasa. ni case ambayo ilikua na mvutano kidogo ila badae mahakama ikatoa ruling yakwamba warithi wote wanatakiwa wapewe haki zao.ila msimamizi alikua ni mama yetu wa kambo ambae alikua hataki turith chochote...amekaaa zaidi ya mwaka hajafanya kaz yoyote kuhusu kukusanya na kugawa mali kwa watu wanao stahili.alikua akitoa rushwa kwa hakim moja anaeitwa mahakama ya kinondoni mwenye jina la makabwa..,swali ni je hakimu akishindwa kutoa hukumu ndani ya wakati au kwa mda wa miaka mitano,anatakiwa kupelekwa wapi ili akosolewe?mana mahakamani pale wanadai eti file limepotea wakat miez kama 4 iliopita lilikuepo,na tukimuuliza mama yetu wa kambo anadai asisumbuliwe.niende wapi ili niweze kupata haki zangu pamoja na wadogo zangu?ila documents zote zamajibizano nnazo ambazo zinaweza kuonyesha jinc hakimu alivokua unfair.msaada tafadhali
 

tafuta ofisi zifuatazo watakupa msaada wa kisheria bure.....
kituo cha sheria na haki za binadamu (lhrc)....ofisi zao zipo ...kinondoni na kijitonyama karibu na chuo cha ustawi wa jamii au Kinondoni Biafra, Isere Street, Justice Mwalusanya House, House No. 660... WLAC OFISI ZIPO WLAC Building, Kinondoni Hananasif , Kisutu Street, KARIBU NA Lang'ata Inn, Block No. 40, House No. 184...HUKO UTAPEWA MSAADA ULIOJITOSHELEZA WA KISHERIA BURE KABISA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…