Msaada

Msaada

Kilangi masanja

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
4,495
Reaction score
5,025
Ndugu habari ,naomba mnisaidie kuhusu hili,nimekuwa nikiugua mba kwamda mrefu na niendapo hospital hupewa dawa na niamiapo hupona kwa miez6>9 Lakini hurudia tena hvyo kwa anayejua kuhusu hili suala hasa tiba ya kudumu anisaidie ,Ikumbukwe ni mba za mwili na kichwa pia
 
Back
Top Bottom