L limi Senior Member Joined Jun 8, 2013 Posts 124 Reaction score 32 Nov 12, 2013 #1 Habarini...ni kawaida kwa mtu kupitiliza siku zake za hedhi???nilikuwa na mzunguko wa siku 28,ukabadrika kwa miezi miwili iliyopita na kupata mzunguko wa siku 25,mwez huu imepitiliza mpka 29 inaenda 30....
Habarini...ni kawaida kwa mtu kupitiliza siku zake za hedhi???nilikuwa na mzunguko wa siku 28,ukabadrika kwa miezi miwili iliyopita na kupata mzunguko wa siku 25,mwez huu imepitiliza mpka 29 inaenda 30....
Fadhili Paulo JF-Expert Member Joined Sep 1, 2011 Posts 3,211 Reaction score 993 Nov 13, 2013 #2 Ni kawaida ingawa huwa kuna sababu zake, kwahiyo angalia kuna jambo gani limeenda ndivyo sivyo mwilini mwako.
Ni kawaida ingawa huwa kuna sababu zake, kwahiyo angalia kuna jambo gani limeenda ndivyo sivyo mwilini mwako.