Msaada

Kinagu ubaga = ni kuelezea or kusema kitu or vitu kwa ufasaha! Or maelezo yanayotosheleza or to disclose something!
Eg: Alimuhadithia mambo yote kinaga ubaga!!!
...
Kinaganaga sidhani kama ni kiswahili sanifu!
But inamaana ya Zigzag or Tirigivyogo!
 
ngoja wataalam watakuja kulitatua kinaga ubaga Lol.
 

salute! mkuu unatisha.
kinaganaga (kiswahili cha kale) = kinaga ubaga (kiswahili cha kisasa). maneno haya yana maana moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…