Masada naomba munielimishe faida anayopata mtu analiyesoma mpaka kinda to cha Sita na na kuingia Chuo Baada ya kufaulu na Faida au hasara gani atayopata mtu anayekufaulu kuingia a-level lakini anaamua kuingia Chuo bila kupitia advance level naomba munisaidie wadau