habari zenu wana jamvi,,naombeni msaada wa kujua haya mambo kisheria zaidi,,
ninachohitaji kujua ni dhamana mtua anayoambiwa kutoa,,je ile dhamana inarejeshwa/rudishwa kwa mtuhumiwa pindipo ataporudi pale alipopangiwa arudi tena mahakamani kwa kesi yake,,au ndio inakua basi tena?yaani sielewi kuhusu dhamana kiujumla,,nahitaji kufahamishwa tafadhali
ninachohitaji kujua ni dhamana mtua anayoambiwa kutoa,,je ile dhamana inarejeshwa/rudishwa kwa mtuhumiwa pindipo ataporudi pale alipopangiwa arudi tena mahakamani kwa kesi yake,,au ndio inakua basi tena?yaani sielewi kuhusu dhamana kiujumla,,nahitaji kufahamishwa tafadhali