msaada

msaada

mafia boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2013
Posts
268
Reaction score
82
habari zenu wana jamvi,,naombeni msaada wa kujua haya mambo kisheria zaidi,,
ninachohitaji kujua ni dhamana mtua anayoambiwa kutoa,,je ile dhamana inarejeshwa/rudishwa kwa mtuhumiwa pindipo ataporudi pale alipopangiwa arudi tena mahakamani kwa kesi yake,,au ndio inakua basi tena?yaani sielewi kuhusu dhamana kiujumla,,nahitaji kufahamishwa tafadhali
 
Back
Top Bottom