Aangalie dawa anazokunywa zinaweza kuwa na side effects kwa mwili wakeKWENYE LIPS YA MDOMO WAKE UMEKUWA MWEKUNDU
REKEBISHA LUGHA .,DANI[damu au ndani,,Wandu?]Hali zenu wandu. Kuna rafiki yangu amepatwa na ungonjwa waajabu,KWENYE LIPS YA MDOMO WAKE UMEKUWA MWEKUNDU(AMEKUWA KAMA M2 ALIE KUWA ANATUMIA KILEVI KIKALI)SASA KILA KADRI SIKU ZINAVYOKWENDA IMEKUWA INATOKA DANI NA KUJA KWA JUU ZAIDI.MSAADA WENU WANDU AFANYEJE ILI AWEZE KUONDOA HILI TATIZO?
inabidi iwe hivyo maana hiyo lugha ?akamuone daktari