Msaada

Msaada

Dodo18

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2011
Posts
315
Reaction score
93
Habari ndungu zangu,,, Nahitaji mahali ambapo
nitapata mafunzo ya ufugaji wa kuku haswa haswa hawa wa kisasa... Nimefuatilia sana kuhusu ufugaji. na nimepata mwanga kidogo lakini bado haitoshi
nataka kujua zaidi kuna vitu vingi sana kwenye
ufugaji..
 
Back
Top Bottom