Habari ndugu wana jamiiforum..Naomba niulize swali,hv inachukua dakika ngapi kwa mwanaume alie rijali kuanza tendo la pili la ndoa baada ya kufika kileleni mara ya kwanza.Mara ya mwisho imenichukua kama dakika 12 hivi ili mzee ainuke tena.Hii ni hali ya kawaida au ni matatizo haya,maana nikimaliza tendo la kwanza ambalo ni la mda mfupi sana nakosa hamu kabisa namuona mwanamke kama takataka
hawa ndio exactly wapumbavu wanaotumiwa ku re direct struggle za watanzania naomba wahusika wamtoe humu na kumpa contacts za global publishers. what makes you think your stupid bedroom crap is our national priority? you mean tuache mjadala wa mgomea mwenza na umaskini wa watanzania sababu wewe huwezi kufanya matusi? WANA JF if you dont start dealing with these people tutawaachia jukwaa lenu muendelee na hii mijadala.
hawa ndio exactly wapumbavu wanaotumiwa ku re direct struggle za watanzania naomba wahusika wamtoe humu na kumpa contacts za global publishers. what makes you think your stupid bedroom crap is our national priority? you mean tuache mjadala wa mgomea mwenza na umaskini wa watanzania sababu wewe huwezi kufanya matusi? WANA JF if you dont start dealing with these people tutawaachia jukwaa lenu muendelee na hii mijadala.
hawa ndio exactly wapumbavu wanaotumiwa ku re direct struggle za watanzania naomba wahusika wamtoe humu na kumpa contacts za global publishers. what makes you think your stupid bedroom crap is our national priority? you mean tuache mjadala wa mgomea mwenza na umaskini wa watanzania sababu wewe huwezi kufanya matusi? WANA JF if you dont start dealing with these people tutawaachia jukwaa lenu muendelee na hii mijadala.
Nadhani mkuu utakuwa ni mgeni sana hapa jamvini yaani umeshindwa kutofautisha forum gani uliyomo? Unataka tujadili siasa kwa JF Dr kwani hazitutoshi? Angalia vema forum mkubwa hapa zipo nyingi kama Siasa, Kimataifa, Michezo, Dini, Ya wakubwa, Muziki, Maceleb nk sasa unataka tuombe ushauri kuhusu michezo kupitia Jukwaa la imani? Au tujadili siasa kupitia Mambo ya wakubwa? Nadhani utakuwa umedandia gari kwa mbele au hasira zako za kifamilia au kwingine umezihamishia jamvini. Best, this forum is global only that you are local!hawa ndio exactly wapumbavu wanaotumiwa ku re direct struggle za watanzania naomba wahusika wamtoe humu na kumpa contacts za global publishers. what makes you think your stupid bedroom crap is our national priority? you mean tuache mjadala wa mgomea mwenza na umaskini wa watanzania sababu wewe huwezi kufanya matusi? WANA JF if you dont start dealing with these people tutawaachia jukwaa lenu muendelee na hii mijadala.
Waweza kwenda au kutoka. Jukwaa hili limekuwepo kabla hujalijua, lipo na litaendelea kuwepo hata bila wewe. Kwa posts zako hizo sijui mia impact yako ni muhimu ndiyo lakini ni NDOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOgo sana!tutawaachia jukwaa lenu muendelee na hii mijadala.
mkuu ningependa kukujulisha kuwa hapo kwenye bluu ni wewe, kwenye nyekundu labda ungetoka wewe umuache nicko ingekuwa bora zaidi, hapo kwenye brown iko kama umeachika vile...punguza munkari.....kwenye pink JF umeikuta na ingekuwa bora ukatuachia tuendelee na mijadala yetu....nadhani sijakukwaza...he he
wacha panick mjomba. Kwani mavuvuzela yanapulizwa hadi unapoteza concetration? Taratibu ndio mwendo otherwise utaumbuka
hawa ndio exactly wapumbavu wanaotumiwa ku re direct struggle za watanzania naomba wahusika wamtoe humu na kumpa contacts za global publishers. what makes you think your stupid bedroom crap is our national priority? you mean tuache mjadala wa mgomea mwenza na umaskini wa watanzania sababu wewe huwezi kufanya matusi? WANA JF if you dont start dealing with these people tutawaachia jukwaa lenu muendelee na hii mijadala.
vuvuzela ni...:horn::horn::horn::horn:
quote=kingi;970262]kuna wadau wawili kwenye jukwaa hili nao wanahitaji msaada. Ni isimilo na mzizimkavu. Mbona inakuwa ngumu kuchangia hoja zako na kukupatia misaada au ushauri na inakuwa rahisi kutoa ushauri juu ya mambo ya ngono tu? Nawe niko kama unaanza na hofu kwa umri wako je ukigonga forty si utaanza kutafuta mchawi? Nimesema umri wako si kama nakujua bali ni kutokana na mtiririko wa mada
kuna wadau wawili kwenye jukwaa hili nao wanahitaji msaada. ni isimilo na mzizimkavu. mbona inakuwa ngumu kuchangia hoja zao na kuwapatia misaada au ushauri na inakuwa rahisi kutoa ushauri juu ya mambo ya ngono tu? nawe niko kama unaanza na hofu kwa umri wako je ukigonga forty si utaanza kutafuta mchawi? nimesema umri wako si kama nakujua bali ni kutokana na mtiririko wa mada