Samahanini wakuu naomba kufahamishwa muda wa kutuma maombi ya mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti daraja A unaisha lini? Na ni vitu gani mhusika anatakiwa kuambatanisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.