Immano2 JF-Expert Member Joined May 31, 2013 Posts 260 Reaction score 214 May 9, 2014 #1 Naomba kufahamishwa dawa ya TAMBAZI inaitwaje
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 42,872 Reaction score 34,363 May 10, 2014 #2 Immano2 said: Naomba kufahamishwa dawa ya TAMBAZI inaitwaje Click to expand... Hapo kwenye Tambazi lako muweke Mdudu nyuki akutafune utapona hilo Tambazi lako. Mdudu nyuki dawa ya tambazi.
Immano2 said: Naomba kufahamishwa dawa ya TAMBAZI inaitwaje Click to expand... Hapo kwenye Tambazi lako muweke Mdudu nyuki akutafune utapona hilo Tambazi lako. Mdudu nyuki dawa ya tambazi.
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,855 Reaction score 24,925 May 10, 2014 #3 MziziMkavu, inabidi amfungie kamba? Nyuki wa bongo wajanja kama nzi, hawatulii Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 42,872 Reaction score 34,363 May 10, 2014 #4 King'asti said: MziziMkavu, inabidi amfungie kamba? Nyuki wa bongo wajanja kama nzi, hawatulii Click to expand... :smile-big::smile-big::smile-big: Dawa ya ukimwi pia ni nyuki kukuuma mwilini mwako Dawa ya Maradhi ya Wendawazimu pia nyuki kukuuma mwilini mwako. nyuki ana faida nyingi sana ila watu hamuelewi kabisa. Sumu ya nyuki inavyoangamiza VVU. chanzo. Sumu ya nyuki inavyoangamiza VVU - mwanzo - mwananchi.co.tz Nyuki: Mdudu mkali mwenye sumu, aliyegeuka tiba duniani. chanzo. Nyuki: Mdudu mkali mwenye sumu, aliyegeuka tiba duniani - mwanzo - mwananchi.co.tz bibie.@King'asti mimi ni Mzizimkavu Hauchimbwi Dawa huwa sipendi kusema kitu pasipo na kuwa na ushahidi wowote ule kazi kwako.
King'asti said: MziziMkavu, inabidi amfungie kamba? Nyuki wa bongo wajanja kama nzi, hawatulii Click to expand... :smile-big::smile-big::smile-big: Dawa ya ukimwi pia ni nyuki kukuuma mwilini mwako Dawa ya Maradhi ya Wendawazimu pia nyuki kukuuma mwilini mwako. nyuki ana faida nyingi sana ila watu hamuelewi kabisa. Sumu ya nyuki inavyoangamiza VVU. chanzo. Sumu ya nyuki inavyoangamiza VVU - mwanzo - mwananchi.co.tz Nyuki: Mdudu mkali mwenye sumu, aliyegeuka tiba duniani. chanzo. Nyuki: Mdudu mkali mwenye sumu, aliyegeuka tiba duniani - mwanzo - mwananchi.co.tz bibie.@King'asti mimi ni Mzizimkavu Hauchimbwi Dawa huwa sipendi kusema kitu pasipo na kuwa na ushahidi wowote ule kazi kwako.
Chocolate Senior Member Joined Feb 5, 2009 Posts 117 Reaction score 48 May 10, 2014 #5 Tambazi ndiyo ugongwa gani na unafananaje?