loh pole sana angalau miaka kuanzia 2 ila inashauriwa kuwa 3 ukiwa umezaa kwa operation, kuupa mwili muda wa kupona na kurudi hali ya kawaida.miezi 4 uliyosema ni mapema mno,jitahidi kuhudhuria kliniki.na ikifika wakati wa kuzaa heri ukaenda hosp.zinazoweza kufanya op.maana kunauwezekano wa kufanyiwa op.nyingine wakati wa kujifungua.