Pole binamu! Nenda zahanati moja iko Gongo la Mboto unashukia kituo cha Banana kama unaenda Kitunda shukia Bonanza!
ni PM tuanze tibapoleni na majukum wapendwa,nahitaji Dr Bingwa wa magonjwa ya wanawake plz kama anaweza anipe na no yake ili niweze kuongea nae kwa kirefu juu ya tatizo langu.