Msaada

ngota wa nzambe

Senior Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
121
Reaction score
136
Wanajf..mimi nilinunua nyumba na kiwanja..na kabla ya kukinunua nilienda ofisi za ardhi kujiridhisha kuwa Hakikuwa na deni lolote toka taasisi ya fedha..sasa baada ya kununua imeibuka benki moja ikitaka kuiuza kwa madai kuwa mmiliki wake hakumaliza deni lao..je sheria inaniruhusu kwenda kuweka zuio( caviet) ili isiuzwe wakati nashughulika na huyo jamaa aloniuzia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…