Msaasa wa Kisheria juu ya Kumdhamini mtu

Msaasa wa Kisheria juu ya Kumdhamini mtu

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,262
Reaction score
2,184
nimemuwekea mtu dhamana kwa kosa la kudhuru mwili yaani shambulio sasa nataka kujua kuna madhara gani nitakayoyapata mimi
 
Ipeleke jukwaa la Sheria mkuu, huko utakutana na weledi wa fani husika.
Ila nijuavyo pindi umuwekeapo mtu dhamana maana yake, wewe ndio unabeba jukumu la kuhakiki masharti yote ya dhamana juu ya mshtakiwa.
Kama ikitokea mtu huyo akatoweka basi wewe mdhamini au mali ya udhamini itashikiliwa hadi pale mstakiwa atapopatikana
 
Back
Top Bottom