Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
mimi jana tigo yangu ilizima internet kabisa karibia masaa sita.,
jaribu kupiga huduma kwa wateja wanaweza kukusaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi imenitokea. Zima simu, subiri sekunde 20 then washa. Usirestart, zima Kama kuzima then washa.Ni line ya halotel. Ilikua inawaka kama kawaida ukiwash data.. Lakini ghafla imetoweka kabisa
Nimewasha na kuzima data mara nyingi hiwaki.. Ila mb zipo
Nikiingi kwenye mtumizi ya inta eti mfano Jf inagoma kufunguka inaonesha hakuna muunganiko wa intaneti
Hili tatizo lipo kwangu tu?
Linaondokaje?
Nimehamia tigo intanet 4g inawaka vizuri. Tatizo ni hiyo line ya pili.
Mtandao umeshika, inapiga,inatuma msg za kawaida.. Ila intneti sasa kile kialama cha H+ hakitokei
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi imenitokea. Zima simu, subiri sekunde 20 then washa. Usirestart, zima Kama kuzima then washa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Restore default mkuu hata mi imetokea ...nikarestore fresh nowNi line ya halotel. Ilikua inawaka kama kawaida ukiwash data.. Lakini ghafla imetoweka kabisa
Nimewasha na kuzima data mara nyingi hiwaki.. Ila mb zipo
Nikiingi kwenye mtumizi ya inta eti mfano Jf inagoma kufunguka inaonesha hakuna muunganiko wa intaneti
Hili tatizo lipo kwangu tu?
Linaondokaje?
Nimehamia tigo intanet 4g inawaka vizuri. Tatizo ni hiyo line ya pili.
Mtandao umeshika, inapiga,inatuma msg za kawaida.. Ila intneti sasa kile kialama cha H+ hakitokei
Sent using Jamii Forums mobile app
Zima tena, vuta muda kidogo then washa. Hakikisha data ipo on.
Haha sawaZima tena, vuta muda kidogo then washa. Hakikisha data ipo on.
Kama haitakubali, basi huo ndiyo mwisho wa ujanja wangu.[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Zima Simu Pia Kama Battery Toa Halafu Rudisha Washa Uone
Wamerudi tayari mama ilikuwa hivyo hata kwangu, network network tu
Sent from my TECNO H6 using Tapatalk
Nyongeza Iwapo Bado Ukizima Toa Line Halafu Rudisha
Halotel yangu pia imeleta shida hiyo, nimezima na kuwasha Simu mpk imekubaliNi line ya halotel. Ilikua inawaka kama kawaida ukiwash data.. Lakini ghafla imetoweka kabisa
Nimewasha na kuzima data mara nyingi hiwaki.. Ila mb zipo
Nikiingi kwenye mtumizi ya inta eti mfano Jf inagoma kufunguka inaonesha hakuna muunganiko wa intaneti
Hili tatizo lipo kwangu tu?
Linaondokaje?
Nimehamia tigo intanet 4g inawaka vizuri. Tatizo ni hiyo line ya pili.
Mtandao umeshika, inapiga,inatuma msg za kawaida.. Ila intneti sasa kile kialama cha H+ hakitokei
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya
Halotel yangu pia imeleta shida hiyo, nimezima na kuwasha Simu mpk imekubali
nenda setting -mobile network-access point-add apnNi line ya halotel. Ilikua inawaka kama kawaida ukiwash data.. Lakini ghafla imetoweka kabisa
Nimewasha na kuzima data mara nyingi hiwaki.. Ila mb zipo
Nikiingi kwenye mtumizi ya inta eti mfano Jf inagoma kufunguka inaonesha hakuna muunganiko wa intaneti
Hili tatizo lipo kwangu tu?
Linaondokaje?
Nimehamia tigo intanet 4g inawaka vizuri. Tatizo ni hiyo line ya pili.
Mtandao umeshika, inapiga,inatuma msg za kawaida.. Ila intneti sasa kile kialama cha H+ hakitokei
Sent using Jamii Forums mobile app