Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
Kwani tigo yako inatumika?mimi jana tigo yangu ilizima internet kabisa karibia masaa sita.,
jaribu kupiga huduma kwa wateja wanaweza kukusaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kaset Access point Mambo muruaNi line ya halotel. Ilikua inawaka kama kawaida ukiwash data.. Lakini ghafla imetoweka kabisa
Nimewasha na kuzima data mara nyingi hiwaki.. Ila mb zipo
Nikiingi kwenye mtumizi ya inta eti mfano Jf inagoma kufunguka inaonesha hakuna muunganiko wa intaneti
Hili tatizo lipo kwangu tu?
Linaondokaje?
Nimehamia tigo intanet 4g inawaka vizuri. Tatizo ni hiyo line ya pili.
Mtandao umeshika, inapiga,inatuma msg za kawaida.. Ila intneti sasa kile kialama cha H+ hakitokei
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijal mkuu nenda kwenye setting ya simu yako select 'mobile network " itafunga then select 'access point name"
ikishafunguka kuna (3POINT) zipo kulia juu
Click itakuja neno RESET TO DEFAULT Hii click hyo neno zen uwanja utabaki plan sasa kuna neno itaandika ADD hi click
mfano hallotel
NAME. hallo
APN.internet
PROX.not set
PORT.9090
kisha save baada ya hapo weka flight mode au kindege dk1 au 2 zima washa dat a ikifeli nakurudishia mb Zako 100fil100 lazima ipig mzigo
Sent using Jamii Forums mobile app
Halotel wana matatizo ya fuatayo
1. Network kusoma lakini internet haipo
2. Network kuwa slow
3. Kusema umepewa mb kiasi flani pale unapo jiunga na vifurushi vyao alafu ndani ya dakika 10 mb zimekwisha(wizi wa mb)
4. Kukata network time to time
So wavumilie ndivyo walivyo skuiz, huduma ovyo ovyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
nmecheka sanaNyongeza Iwapo Bado Ukizima Toa Line Halafu Rudisha
Imerudi mkuuKuna kitu kinaitwa internet settings, hiyo ndio itakuwa imechizi, piga customer care wanakutumia unasave mambo bomba, kama ni mjanja unaweza kuelekezwa ukaweka settings.
Au upo karibu na Congo?ππ (natania)
maana huko wamezima internet
I see you