KAKA TANZANIA
Member
- Sep 19, 2016
- 65
- 40
Sijawahi kusikia hii kitu
MAJIBU YA KISHERIA - JE, NI KWELI MWANAUME AKIISHI NA MWANAMKE KWA KIPINDI KIREFU WANAKUA WAMEOANA? Bofya hapo kupata majibu yote ya maswali yakoHabari wana jamvi, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Naomba kufahamu dhana ya ndoa kwa sasa ni miaka mi mingapi au mda gani ambao mwanaume na mwanamke wakiishi pamoja watathibitishwa kuwa ni wanando, kulingana na sheria ya ndoa ya sasa.
Naomba kuwasilisha.
Cc: kwa wanasheria wote.
MAJIBU YA KISHERIA - JE, NI KWELI MWANAUME AKIISHI NA MWANAMKE KWA KIPINDI KIREFU WANAKUA WAMEOANA? Bofya hapo kupata majibu yote ya maswali yako
Kwa mujibu wa Sheria za ndoa ni miaka mi2
Dada tanzania