MSADA:Naomba kujua dhana ya ndoa

KAKA TANZANIA

Member
Joined
Sep 19, 2016
Posts
65
Reaction score
40
Habari wana jamvi, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Naomba kufahamu dhana ya ndoa kwa sasa ni miaka mi mingapi au mda gani ambao mwanaume na mwanamke wakiishi pamoja watathibitishwa kuwa ni wanando, kulingana na sheria ya ndoa ya sasa.
Naomba kuwasilisha.

Cc: kwa wanasheria wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…