nahisi analijua, ila anaplay cool, kwakweli ni balaa... yani mnaweza mkawa bar halafu anaona gari nzuri, anashoboka hadi soo aisee
nadhani haya mambo yanategemea walianza vp,kama wakati wanaanza alimwambia magari yote yanayoanza na T ni yake,au magorofa yote ni yake,au watu wote wanaovaa jinsi ni kutoka kampuni yake (mifano si ya ukweli lkn)lazima kutakuwa na tatizo hapo,kil kitu ktk maisha kinahitaji msingi,je msingi wao ulikuwa upi?showing off au?je jamaa yajo kaona hili kama tatizo?amuite mkewe waongee hali halisi ya maisha sio kumwambia"kuna hela fulani nategemea kupata ntakununulia"aseme ukweli wa maisha nn malengo yao mangapi wametimiza,mangapi hayaja timia kwann?nini kifanyike ktk madeni yote waliyoingia ,je wataishi vipi maana dawa ya deni kulipa etc,waongee kirafiki nadhani wataelewana tu.
thansk Pearl... ukweli ni kwamba wote hatukuiona hiyo tabia before... ila kadri siku zinavyoenda tunaona kama mama anazidi aisee... juzi hapa mamsapu wangu akaniuliza hivi mbona ----- kama anabadilika? nikakosa jibu
sasa je mie nimuulize jamaa au niache tu mpaka jamaa avunje ukimya?
Wakuu napata tabu sana na rafiki yanu mmoja wa karibu... sasa mpaka mimi nimeanza kukoas imani na amani maana rafiki yangu anaendeshwa kweli na mamsapu wake
Mama anashindana na kila rafiki wa mumewe, yani ukinunua gari, basi na shem atamuendesha jamaa mpaka anunue gari. Mwanamama anashinda na madalali tu mara kiwanja, mara fremu, mara gari, sasa imeanza kuwa tabu kwani jamaa ameingia kwenye madeni makubwa sana na anafikiria kukimbia nchi
Ungekua wewe ungeshauri nini?
nahisi analijua, ila anaplay cool, kwakweli ni balaa... yani mnaweza mkawa bar halafu anaona gari nzuri, anashoboka hadi soo aisee
nahisi analijua, ila anaplay cool, kwakweli ni balaa... yani mnaweza mkawa bar halafu anaona gari nzuri, anashoboka hadi soo aisee
thansk Pearl... ukweli ni kwamba wote hatukuiona hiyo tabia before... ila kadri siku zinavyoenda tunaona kama mama anazidi aisee... juzi hapa mamsapu wangu akaniuliza hivi mbona ----- kama anabadilika? nikakosa jibu
sasa je mie nimuulize jamaa au niache tu mpaka jamaa avunje ukimya?
Hizi balaa za kimaisha aisee...ila ni ngumu kuingilia kama jamaa hajawambia rasmi....so i propose :tape:
Maji yakimfikia shingoni jamaa obviously he will break the silence sidhani kama ataendelea kuugulia tu moyoni:nono::nono:
Wakuu napata tabu sana na rafiki yanu mmoja wa karibu... sasa mpaka mimi nimeanza kukoas imani na amani maana rafiki yangu anaendeshwa kweli na mamsapu wake
Mama anashindana na kila rafiki wa mumewe, yani ukinunua gari, basi na shem atamuendesha jamaa mpaka anunue gari. Mwanamama anashinda na madalali tu mara kiwanja, mara fremu, mara gari, sasa imeanza kuwa tabu kwani jamaa ameingia kwenye madeni makubwa sana na anafikiria kukimbia nchi
Ungekua wewe ungeshauri nini?
Maji yakimfikia shingoni jamaa obviously he will break the silence sidhani kama ataendelea kuugulia tu moyoni:nono::nono:
huyo ni jamaa yako unaweza kumueleza kwa HEKIMA!thansk Pearl... ukweli ni kwamba wote hatukuiona hiyo tabia before... ila kadri siku zinavyoenda tunaona kama mama anazidi aisee... juzi hapa mamsapu wangu akaniuliza hivi mbona ----- kama anabadilika? nikakosa jibu
sasa je mie nimuulize jamaa au niache tu mpaka jamaa avunje ukimya?