Wala hawahitajiki waendelee na Saccos yao. Wanataka sifa si ulimsikia msaliti alivyosema jana alipokuwa pale Ufipa?Viongozi wakuu wa Chadema wamefika uwanja wa Uhuru leo saa moja asubuhi ndipo wakazuiwa kuingia wakiambiwa wasubiri kwanza utaratibu.
Ilipofika saa tatu asubuhi viongozi kadhaa walianza kumiminika na kuruhusiwa kuingia uwanjani huku viongozi wa Chadema wakiwa bado getini.
Rais alipofika akaingia ndipo viongozi wa Chadema wakaambiwa hakuna tena kuingia uwanjani.
Ndipo nasema sasa kila mtu afanye shughuli yake ili mradi hatutavunja katiba.
Mlienda kama kikundi?
Mbona wengine tumeingia kwa utaratibu wa kawaida na hatujasumbuliwa?
Kwani wewe chadema?Mlienda kama kikundi?
Mbona wengine tumeingia kwa utaratibu wa kawaida na hatujasumbuliwa?
Utaratibu ulitangazwa tangu jana lakini..Kwa vile wao sio watanzaniaau?Aliewazuia hajielewi. Hapa duniani tunapita tu.
waendelee na sherehe, watuache na msiba wetu.
Wanaleta siasa hao hata kwenye msiba. Waende zao huko ufipa.Msafara wa Viongozi Wakuu wa CHADEMA, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Freeman Mbowe, wamezuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru walikokuwa wameenda kuhudhuria shughuli ya kutoa heshima za mwisho na kumuaga Rais Mstaafu wa Awamu Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa.
Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Mbowe aliongozana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Bara), Mhe. Tundu Lissu, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mhe. John Mnyika, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, Mhe. Hashim Juma Issa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama, Mhe. Suzan Kiwanga na viongozi wengine waandamizi kutoka Makao Makuu ya CHADEMA, Viongozi wa Kanda 10 za chama, Viongozi CHADEMAwa Mikoa, Wilaya na Majimbo mbalimbali nchi nzima.
View attachment 1519379
Kutoka Uwanja wa Uhuru hapa, Dar es Salaam.
Sasa mbona walijiwahi kwenda Taifa?Ni mpinzani gani anashoboka na huo msiba kwa mfano?
Umekasirikia mambo kuliko yale yanayokasirisha! Wewe na ukongwe wako umeonyesha gubu! Toa ushauri, achana na maneno ya kwenye kanga. Mbona huyo kiazi misasa nimelike comment yake ambapo hakuongea ushuzi?Pamoja na ukongwe wako humu JF haya majibu ni kama umejiunga June 2020...
The fear reaction of the people. Lissu angeshangiliwa na kuwa aibu kwaoMsafara wa Viongozi Wakuu wa CHADEMA, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Freeman Mbowe, wamezuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru walikokuwa wameenda kuhudhuria shughuli ya kutoa heshima za mwisho na kumuaga Rais Mstaafu wa Awamu Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa.
Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Mbowe aliongozana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Bara), Mhe. Tundu Lissu, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mhe. John Mnyika, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, Mhe. Hashim Juma Issa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama, Mhe. Suzan Kiwanga na viongozi wengine waandamizi kutoka Makao Makuu ya CHADEMA, Viongozi wa Kanda 10 za chama, Viongozi CHADEMAwa Mikoa, Wilaya na Majimbo mbalimbali nchi nzima.
Kutoka Uwanja wa Uhuru hapa, Dar es Salaam.
Ni muhimu hicho chama kuuawa au kifutiliwe mbali
Mnachanganya matamanio na uhalisia. At the end of the day, you loose track of the reality.The fear reaction of the people. Lissu angeshangiliwa na kuwa aibu kwao
Lissu ni mtu wa pekee sana na mwenye roho ya kipekee ..... may be Roho kama za akina Mandela.Civilisation ingeoneshwa jana.
√ Wakati nchi jirani wamepeperusha bendera zao za Taifa nusu mlingoti, CHADEMA walizipeperusha kwa bwembwe kumlaki Makamu wa M/Kiti wao;
√ Badala ya mtia nia ya Urais kwenda kutoa rambirambi kwa familia ya mfiwa, aliona ni bora ahutubie waliomlaki tena kwa lugha ya kejeli dhidi ya Serikali na marehemu (akilenga jumuia ya kimataifa kupitia vyombo vya habari vilivyokaribishwa kwa makusudi hayo);
Au mnaamini WaTz ni wajinga kama walivyoonesha wanachama na wafuasi wa CHADEMA jana, wakati kwa mila na desturi za kiafrika, msiba hupewa uzito mkubwa kijamii na kisiasa.
CHADEMA kitavuna kilichopanda jana.
Viongozi wakuu wa Chadema wamefika uwanja wa Uhuru leo saa moja asubuhi ndipo wakazuiwa kuingia wakiambiwa wasubiri kwanza utaratibu.
Ilipofika saa tatu asubuhi viongozi kadhaa walianza kumiminika na kuruhusiwa kuingia uwanjani huku viongozi wa Chadema wakiwa bado getini.
Rais alipofika akaingia ndipo viongozi wa Chadema wakaambiwa hakuna tena kuingia uwanjani.
Ndipo nasema sasa kila mtu afanye shughuli yake ili mradi hatutavunja katiba.
Msibani kuna kiki?Hawa jamaa wanafanya mzaha na msiba wa taifa. Kiki ya jana imebuma wameona waende wakatafute kiki nyingine msibani. Aibu sana kwa CHADEMA.
Kwani si toka Jana mshereheshaji alisema kutakuwa na mabasi maalum ya kuingia uwanjani kwa wageni maalum sasa wao kiranga gani cha kwenda na vitetenasi vyao kiwanjani? wangeenda kwa mguu mguu wangezuiwa ndio mngekuja kulialia humu.Civilisation imewapitia mbali sana MATAGA!
Usishangae wakaambiwa wameandamana bila Kibali.
Ubaguzi huu sasa unahamia mpaka kwenye misiba na ipo siku utakwenda zaidi ya hapo.
Ya jana yamewaumiza, na hizi ndio hasira zao.
Hatari ya uamuzi huu ni msiba kuchukua sura ya kisiasa na matokeo yake watu wanaweza kususa kushiriki ikiwamo kuondoka msibani kwa waliokwisha kufika.
Ila kama kuna sababu ya msingi ya kuwazuia,tuambiwe.