Msafara wa Viongozi CHADEMA wazuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru kumuaga Mzee Mkapa. Waitaka Serikali itoe maelezo...

Wala hawahitajiki waendelee na Saccos yao. Wanataka sifa si ulimsikia msaliti alivyosema jana alipokuwa pale Ufipa?
 
Çhadema mpo kama Watoto
Na mnajiona watu maalumu nchi hii
Kila mahali mnaingiza Siasa
Muache Upuuzi
 
Wanaleta siasa hao hata kwenye msiba. Waende zao huko ufipa.
 
Kwanza Chadema walikuja na magari wakati serikali ilitangaza Watu wasije na magari

Halafu hawajui protocol. Kuwa Huwezi ingia na gari ndani ya uwanja Ni ya viongozi tu wa serikali wa kitaifa wanaoruhusiwa kuingia na magari hata viongozi wakuu wa dini hawaingii mule na magari Sasa wao wakaja na gari zao za mikopo walizokopa bungeni eti wanataka kuingia na magari Yaao waliyokopa bungeni!! Hata vibaka tu wa temeke wanajua kuwa Huwezi ingia na magari Kama si.kiongozi wa serikali wa kitaifa .Wao hata Hili tu hawajui
 
Pamoja na ukongwe wako humu JF haya majibu ni kama umejiunga June 2020...
Umekasirikia mambo kuliko yale yanayokasirisha! Wewe na ukongwe wako umeonyesha gubu! Toa ushauri, achana na maneno ya kwenye kanga. Mbona huyo kiazi misasa nimelike comment yake ambapo hakuongea ushuzi?
 
The fear reaction of the people. Lissu angeshangiliwa na kuwa aibu kwao
 
Lissu ni mtu wa pekee sana na mwenye roho ya kipekee ..... may be Roho kama za akina Mandela.

Baada ya kumwagiwa risasi zote hizo na kutibiwa kwa miaka mitatu bado anaweza kuongea bila hasira na kwa tabasamu pana ....!!
 

Mkuu Gsam viongozi wa Cdm hata wangeenda hapo uwanjani saa 11 asubuhi, bado wasingefurahiwa kuwepo hapo uwanjani, hasa hasa Lisu. Ni nani asiyefahamu uhasama uliopo baina ya Lisu na Magufuli? Hivi viongozi wa Cdm hawawezi kujifunza tabia za mtu na kujua wachukue maamuzi gani?

Kulikuwa na haja gani ya viongozi wa CDM kwenda kwenye huo msiba? Hivi ni kweli hamjui baadhi ya hatua na madhila wanayoyapata cdm hivi sasa yalikuwa na baraka za huyo Mkapa? Ni lini huyo Mkapa aliwahi kujihusisha na misiba ya cdm? Huyo Tundu Lissu alipigwa risasi nusura kufa, Mkapa aliwahi hata kutoa pole? Alithubutu hata kwenda kumtembelea? Jana kuna post nilishauri huru, kwamba Lissu asiende kwenye huo msiba, haya mnayosema humu ndani, mbona yalikuwa ni dhahiri yatatokea?

Cc: Mwengeso
 
Umekasirikia mambo kuliko yale yanayokasirisha! Wewe na ukongwe wako umeonyesha gubu! Toa ushauri, achana na maneno ya kwenye kanga. Mbona huyo kiazi misasa nimelike comment yake ambapo hakuongea ushuzi?
Duh!

Nimekuwa kiazi mkuu? Any way shukran
 
Kwani si toka Jana mshereheshaji alisema kutakuwa na mabasi maalum ya kuingia uwanjani kwa wageni maalum sasa wao kiranga gani cha kwenda na vitetenasi vyao kiwanjani? wangeenda kwa mguu mguu wangezuiwa ndio mngekuja kulialia humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…