Sasa mbona walijiwahi kwenda Taifa?
Kwani walienda saa ngapiKwani wangeenda saa mbili asubuhi wangepungukiwa nini?
Unajuaje walichelewa, weka picha na timer.Mwanahabari Huru,
Nafikiri kwenye hili tuache ushabiki Viongozi wa Chadema wamechelewa kufika uwanjani na walipaswa kukaa presidential Area wangekaaje na je uwanjani wangeingia vp wakati Rais kaishaingia?
Wakubwa sehemu yeyote ambayo kama kuna event mtu wa mwisho kuingia ni Rais ukichelewa kaa mbali tu!
mwananchi wa kawaida anaruhusiwa kimya kimya kuingiaKwani baada ya kuingia rais wananchi hawaruhusi kuingia nyuma yake?
Una maana rais alifika pale uwanjani saa kumi na mbili asubuhi?Walikuwa wapi mpaka waingie wakati Rais ameshaingia ndani? Itifaki lazima izingatiwe.
sasa unadhani urais kwani mtu yeyote hawezi kua!? hiko ni cheo tu kama vingine, so relax tu!Akuwa malaika ila alikuwa rais wa JMT au ujui hilo?
Kwanza hata niliposikia hao viongozi wa Cdm wameenda niliwashangaa. Unaendaje kwenye msiba wa kiongozi ambaye maisha yake yote alikuwa adui, na muendesha siasa za ufitini dhidi ya upinzani, hasa hasa hao cdm? Huyo Mkapa si alimuweka ndani kabisa huyo Lisu wakati akipambania wachimbaji wadogo?
Tunapimaje DHAMIRA za watu kwenye hili? Huu ni msiba wa Rais Mstaafu!Je, walienda kwa dhania ya Kumuaga Rais Mstaafu Hayati Mzee Mkapa au walienda ili Kujitangaza zaidi Kisiasa na Kumuonyesha Mgeni Mwenyeji?
Hii ndo hasara ya kuwapa madaraka makubwa watu wasio na uwezo.yaano unatumia Kodi zetu kwa Mambo yako binafsiKuna Watu ninawashauri kwa nia njema tu kuwa wawe makini mno kwani kuna Mtu namuona anahutubia ila ana Hasira na Kisununu sana Moyoni.
Swala la msiba halina uhusiano na protokali hio sio siasa.......ccm na viongozi wake waache utoto huu......Kwani kwenda msibani unapangiwa muda ? Haya mambo ni ya ajabu
Kwani Jana Tundu Lissu hakuja?Hawa jamaa wanafanya mzaha na msiba wa taifa. Kiki ya jana imebuma wameona waende wakatafute kiki nyingine msibani. Aibu sana kwa CHADEMA.
Rais aliingia saa ngapi?Rais akishaingia mahala Itifaki hairuhusu mtu mwingine kuingia, so hao walitaka kuvunja utaratibu na hivyo ni haki kabisa kuzuiliwa.
Mtu akisimama nje ya mlango wa choo huwezi kujua kama anaenda kunya au kukojoaJe walifuata mambo ya itifaki? Maana wasifanye kama msiba wa mtu wa kawaida.
Mbona nyie mmejaa na minguo yenu ya mbogamboga kwani hamkuwa mnatafuta Kiki za kisiasaKwa jinsi walivyojikusanya na kwenda Uwanja wa Taifa, ni wazi kabisa walitaka kick ya kisiasa, sasa hao walikuwa hawana nia ya kuhani msiba bali kujitangaza kisiasa na wangevuruga sana..
Msiba mkubwa wa Taifa na Kimataifa kama huu wa Mh. Mkapa, alafu unakuja na sura au mlengo wa kisiasa ili ujipatie kick au publicity ni mbaya sana, watu wako katika majonzi ww uje na magwanda yako ya CDM unatafuta nn? [emoji848][emoji34]