Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni PM namba yako ya sm tuongee.
wengi tuna shida hiyo weka mambo hadharani kama ww ndio muuzaji sema tukutafute
sasa mbona hujatoa suluhisho ww ndio unadandia. Nimesema wengi kwa kuwa wingi unaanzia na mbili. Halafu acha masihara fikiri kabla ya kuandikakama unashida sema unashida upewe suruhisho usipende kudandia magari kwa mbele utagongwa.
Asante King'asti nitafuatiliaKuna kiwanda kipo mbezi beach (kituo sijui kinaitwaje). Ila ulizia mbezi garden hotel. Ukianza kuelekea mbezi garden upande wa kulia kwako kama unatokea bagamoyo road. Nahisi ni gate la tatu hivi. Wanatengeneza plasticks nyingi.
una maanisha zile chupa au makopo?