kheee, yaani hajawahi kupendana na mwanamke kiasi hicho anachopendana na huyo,,du ina maana wewe na yeye ilikuwa tu, MRADI KUNAKUCHA!!ingelikuwa mimi huyo namkalisha kitako, namuaga tu, mbele ya mashahidi hata 2 wanatosha.Mana kitendo cha kusema hajawahi kupendana na mwanamke mwingine namna ile, basi tayari kingelinifukuza hapo ndani.Tena anaongea na uncle wake, hapana ningeondoka.Sijui wewe, labda kama unataka ujaribu kufight for hiyo ndoa yako, na sijui utaanza kufight kwenye angle gani, wakati mtu ameshaanza kudiscuss na mjomba, Dada ondoka tuu