Msaidizi wa Hesabu (Accounts Assistant), Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (1 Post)

Msaidizi wa Hesabu (Accounts Assistant), Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (1 Post)

Jamii Opportunities

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
4,876
Reaction score
1,549
MSAIDIZI WA HESABU (ACCOUNTS ASSISTANT) - 1 POST
POST CATEGORY(S)ACCOUNTING AND AUDITING
EMPLOYERHalmashauri ya Wilaya ya Musoma
APPLICATION TIMELINE:2022-04-12 2022-04-25
JOB SUMMARYN/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  • Kuandika na kutunza “register” zinazohusu shughuli za uhasibu;
  • Kutunza Kumbukumbu za hesabu;
  • Kupeleka barua/nyaraka za uhasibu Benki; na
  • Kufanya kazi nyingine za fani yake atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
  • Kuajiriwa wenye Cheti cha Astashahada ya Uhasibu kutoka Chuo kinachotambulika na Serikali au Cheti cha ATEC I kinachotolewa na NBAA au sifa zingine zinazolingana na hizo zinazotambulika na NBAA.
REMUNERATIONTGS B


Mwisho wa kutuma maombi ni Aprili 25, 2022

BONYEZA HAPA KUFANYA MAOMBI
 
Back
Top Bottom