Msajili wa vyama vya Siasa unasubiri nini kuifutia usajili CHADEMA wakati inaendelea kukiuka sheria na kuchochea chuki na ubaguzi?

CHADEMA wanahamasisha na kuchochea ubaguzi kati ya wananchi wa Zanzibar na Bara,wanasema wazanzibari hawana haki huku Bara,wanasema hawastahili kushika uongozi ikiwepo Urais ,wanataka na kudhamiria na kutaka kuhamasisha kuuvunja muungano.
Kwani Watanganyika wana haki gani huko Zanzibar?
 
Kuwa mpole mkuu usiogope hakuna lolote roho ikitaka kuacha mwili lazima mtu atape tape Samia kafanya kosa kumuondoa makonda pale kaweka watu wachovu sababu ya kuwasikiliza nape na ndugu yake wa yamini!
Sasa huyo bashite anayo akili ya kumjibu Lissu?
 
CHADEMA wanahamasisha na kuchochea ubaguzi kati ya wananchi wa Zanzibar na Bara,wanasema wazanzibari hawana haki huku Bara,wanasema hawastahili kushika uongozi ikiwepo Urais ,wanataka na kudhamiria na kutaka kuhamasisha kuuvunja muungano.
Kwani Jusa anasema je kuhusu Muungano. Mbona risasi zinaelekezwa kwa Lissu peke yake...!? Jibuni hoja msikimbilie kutumia nguvu za dola.
 
Huyo lucas ni mwezi mchanga.
 
mbona wananchi watakuwa upande wa Lisu/chadema, amesema ukweli wote Lisu na ndicho watanganyika wengi walitamani kukisikia.
 
Unajua hata mwenyekiti wa CCM na msajili wa vyama wakisoma huu uzi watakuona ni kilaza sana. Lucas unatakiwa ujue hizo hela zinazotajwa kuwa katoa mama nyingi zinatoka kwa mabeberu ambapo sharti mojawapo ili uzipate ni kuachia demokrasia itamalaki. Unavyoona CHADEMA wanaachwa wapayuke na kuandamana sio kwa bahati mbaya. Kuwafutia chama chao italeta balaa zito kuliko unavyofikiri. Acha kumtaka MSAJILI afanye huo upuuzi unaouwaza.
 
mimi sijaona ubaya wa lissu maana anaongea ukweli..au kosa lake ni kuongea ukweli?
 
Hivi mtoa mada, wewe ni mtanzania kweli? Una akili kabisa? Hata kama ni uchawa kama kijana, ebu jaribu kuwa msaada kwa taifa lako. Yaani unakuwa kama msukule
 
Tunataka vyama vyenye mawazo mbadala,sera mbadala ,ajenda zenye kugusa maisha ya watu.na siyo vyama kama CHADEMA vyenye kichocheo machafuko,ubaguzi na mifarakano ndani ya Taifa letu.
Siyo kazi yenu kuwapangia CDM cha kufanya. Sera mbadala wapelekeeni CCM B.
 
Tanzania ina vyama vingapi vya siasa? Kwanini tuache chama kilichojigeuza kuwa genge la wahuni wa kueneza ubaguzi na chuki kuendelea kuhatarisha amani na usalama wa Taifa letu?
 
Tanzania ina vyama vingapi vya siasa? Kwanini tuache chama kilichojigeuza kuwa genge la wahuni wa kueneza ubaguzi na chuki kuendelea kuhatarisha amani na usalama wa Taifa letu?
Chama kilichowahi kupata kura zaidi ya 6m unawezaje kukiita genge la wahuni? Wewe ndo unahatarisha usalama wa Taifa kwa kushauri upumbavu. Kakae na wakubwa zako wakueleweshe kwanini CHADEMA wanaruhusiwa kuandamana na kuropoka.
 
Chama kilichowahi kupata kura zaidi ya 6m unawezaje kukiita genge la wahuni? Wewe ndo unahatarisha usalama wa Taifa kwa kushauri upumbavu. Kakae na wakubwa zako wakueleweshe kwanini CHADEMA wanaruhusiwa kuandamana na kuropoka.
Muhuni ni muhuni tu hata kama atavaa suti atabakia kuwa muhuni tu.
 
Alifanya nini kwa wale Chipukizi wa Sisiemu?Tulieni dawa iingie hadi kwenye mifupa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…