Kufungwa kunauma mkuu,kama mimi siku tumefungwa na kaizer chiefs nilikuwa najihisi kama nataka kupigana na mtu lakini simjui,natafuta wa kumlaumu simuoni nikabaki najifyonya fyonya tuYaani hadi mama anapigana na wazazi wa wachezaji wenzie wa mwanae. Hatari sana
Kufungwa sio mchezo.
Ungepitia hapa mitaa ya kaunda tukuchangamsheKufungwa kunauma mkuu,kama mimi siku tumefungwa na kaizer chiefs nilikuwa najihisi kama nataka kupigana na mtu lakini simjui,natafuta wa kumlaumu simuoni nikabaki najifyonya fyonya tu
Mh!Ungepitia hapa mitaa ya kaunda tukuchangamshe
๐Ungepitia hapa mitaa ya kaunda tukuchangamshe
Wanamwangushia jumba bovu tuPOGBA ANAONEWA TU,
Takwimu hazidanganyi, Kwenye iyo game.
Beki zote zilicheza chini ya kiwango, Kante nae alipoteana Kabisa[emoji116]View attachment 1836647
POGBA ANAONEWA TU,
Takwimu hazidanganyi, Kwenye iyo game.
Beki zote zilicheza chini ya kiwango, Kante nae alipoteana Kabisa[emoji116]View attachment 1836647