~^^*^^~ msaliti ~^^*^^~

Hiki ni kielelezo ch ukiukwaji wa maadili katika jamii zetu. Mara nyingi tunasikia mahusiano baina ya watu na shemeji zao ..lakini hii ya mama mkwe nimebaki na mshangao ambayo hakupaswa kamwe kuyajua!

Huyu bwanakaka naye anastahili kulaaniwa kwa kiwango kilekile! Je huku si ni sawa na kulala na mama yake aliyemzaa? Sitaki kuamini kwamba hili linawezekana katika maisha ya kweli...ni porojo tu za Mwanakijiji za wikiendi.

MKJJ ..siku hizi umecharuka na visa vyenye viroja... siasa zimekushinda?
 
WoS.. unafikiri kipi ni chepesi? mtu kulala na binti yake au dada kulala na kaka yake au mtu kula na mkwe wake?
 
Daa huyu mama hana hata aibu anatembea na Mkwewe.Ningewaua wote wa wawili..Duu!
 
duh.. yaani kutoka kwenye hadithi umepostulate kwa jamii nzima ya watu with no qualification whatsoever? yawezekana msingi wa mahitimisho yako hautokani hata chembe na kisa cha masimulizi.

MMKJ,

Asante kwa hadithi. Nina swali moja dogo. Msimulizi anasema alichomwa kisu cha moyo na kikashindiliwa kabisa. Je alipona? Kama hakupona imekuwaje atoke kuzimu kuja kusimulia hilo tukio hapa tena?

Tiba
 
Mwanakijiji nadhani kutokana na mikasa yako ya kunako hadithi ulistahili kuitwa BAZAZI. Unanilazimisha kila wakati kuwa nafuatilia hadithi zako. Keep it up please
 
ushauri kwa mwanakijiji. mimi binafsi ningependa kuona upande wako wa pili wa kiutunzi zaidi ya mapenzi. mapenzi ni marahisi kuyatungia simulizi ndio maana asilimia 90 ya nyimbo ni mapanzi tu. kuna maisha zaidi ya mapenzi. andika simulizi hizo na nadhani itabandikwa kwenye jukwaa la lugha
 
Guys, you should remember that our brother Mwanakijiji is a Philosopher you should therefore abstain from stopping challenging your brains. I do not think Mwanakijiji wants to tell us about some imaginary mother in laws who sleep with their daughters husbands. May we try to give this story a real life interpretation? is this story related to the political situation in our country?
 
 
duh.. yaani kutoka kwenye hadithi umepostulate kwa jamii nzima ya watu with no qualification whatsoever? yawezekana msingi wa mahitimisho yako hautokani hata chembe na kisa cha masimulizi.

Mkuu MKJJ, nilichokifanya ni kuchambua hadithi zote na kutoka na dhamira mojawapo ya mwandishi kwa mujibu wangu. Sijawahukumu kabila kwa ujumla wao bali nilionesha kama ambavyo mwandishi alitaka tuone. Lakini all in all, kwa kuwa kazi ya sanaa ni kuonesha kilichomo kwenye jamii husika, I think I was right.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…