Msamaha wa deni la TANESCO kwa Zanzibar unazua maswali mengi

Msamaha wa deni la TANESCO kwa Zanzibar unazua maswali mengi

Leverage

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2021
Posts
2,125
Reaction score
3,150
Kama Bilioni 19 za TANESCO walishindwa kulipa hadi Magufuli akaamua kulifuta deni. Je wataweza kulipa hizi bilioni 200 na point za mgao wa UVIKO-19? Pia kuna mkopo wa Trilioni 7 unakuja ambapo mgao wao 21% ni kama Trilioni 1.5, wataweza kulipa na hii?

Katiba imetaja jinsi ya kugawana mikopo, vipi kuhusu mgawo wa kulipa mkopo katiba inasemaje?
Mambo gani ya Muungano yanayoingiza fedha kutoka Zanzibar kuingia hazina kuu au ndio tule wote ulipe wewe?
"Waswahili wanasema wasiwasi ndio akili"
 
Siwakubali sana watu wa huko labda madem zao tu ndo watamu ila kwenye maendeleo zenj hawana nshu
 
Tumechoka kubeba mizigo ya wala urojo! Tanesco ifunge meter kwa kila mtumiaji wa umeme wa Znz, lipa ndio upate umeme
 
Kufa kufaana wacha wazanzibar na wao wale keki ya taifa...wasukuma wa gang mko wapiiiiiiii mbona siwaoniiiiiiiiiii😂😂😂😂😂
 
Huu Muungano wakitaka tuufurahie iwe ukinunua bidhaa kama TV Zanzibar uwe unavuka nayo DSM bila ule upumbavu wao wa sasa
 
I think ingekuwa vzr hizi wizara zisiwe za muungano, ili Zanzibar ijitegemee kwenye mambo ya fedha wakikopa walipe wao
 
I think ingekuwa vzr hizi wizara zisiwe za muungano, ili Zanzibar ijitegemee kwenye mambo ya fedha wakikopa walipe wao
 
Zenji ni kakoloni ketu tunakatawala tutawalipia tu hao usipowalipia hela watatoa wapi hao kazi kucheza draft vijiweni
 
Huu muungano ni wa hovyo sana. Ngoja tuendelee kuwalipia bill za umeme hadi akili ikuje
 
Back
Top Bottom