Nina hakika kwa uchumi ule wa karafuu na utalii, haya madeni ni mzigo wa TanganyikaMuda huo ukifika zanzibar unapata bidhaa bei nafuu, ila bongo tunakamuana kodi kama vile ugomvi
Kwenye bajeti ya Zanzibar kuna debt servicing? Nina shaka kubwa hawatalipa. Kwani huu ndo mkopo wa kwanza?Hapana, watasamehewa pia...
Kuna mambo mengi yanahitaji ufafanuzi tena wakinakwenye bajeti ya zanzibar kuna debt servicing? Nina shaka kubwa hawatalipa. Kwani huu ndo mkopo wa kwanza?
Katiba imeacha Loophole kuhusu mgawanyo wa kulipaHapana, watasamehewa pia...
Ndio umeamua kutuchana ukweli kabisaWatanganyika tulieni tufaidi liinchi lenu
Viongozi wetu wanapoenda kujadili kero za Muungano huwa wanachukua maoni ya wananchi?Wale wazanzibar wanatupumzikia tu ni mzigo, na watakuja kupigwa mnada na sisi