Msamaha wa kodi kwa makampuni

Thegame

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2011
Posts
2,273
Reaction score
2,398
Wakuu naomba ufafanuzi
Kwa muda sasa nimesikia kwamba kuna makampuni ambayo hupata nafuu ya kodi( Tax holiday) lengo likiwa ni kuvutia uwekezaji nchini!
Naomba kuelewa katika hili
1. Ni makampuni yenye sifa zipi ambayo hunufaika na Msamaha huu?
2. Ni kwa makampuni ya kigeni tu au hata ya sisi wazalendo tunaweza kupata nafuu hii??
Asanteni kwa ufafanuzi wenu
Thegame
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…