Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 576
- 876
Kama ndio aliomfundisha basi ni kweli hana shule,hivi msami kaacha kazi TBC kumbe? Lini ameacha kazi TBC? Nimekuta kipindi ndio kinaishia nimesikia anasema kwamba anakaa jirani na Havard university ni kweli au nimemsikia vibaya? Jamaa ile Raizoni aliyopiga katisha.
Kama ndio aliomfundisha basi ni kweli hana shule,hivi msami kaacha kazi TBC kumbe? Lini ameacha kazi TBC? Nimekuta kipindi ndio kinaishia nimesikia anasema kwamba anakaa jirani na Havard university ni kweli au nimemsikia vibaya? Jamaa ile Raizoni aliyopiga katisha.
Kama ndio aliomfundisha basi ni kweli hana shule,hivi msami kaacha kazi TBC kumbe? Lini ameacha kazi TBC? Nimekuta kipindi ndio kinaishia nimesikia anasema kwamba anakaa jirani na Havard university ni kweli au nimemsikia vibaya? Jamaa ile Raizoni aliyopiga katisha.
Marudio ya hicho kipindi ni lini?
Marudio ya hicho kipindi ni lini?
Ifike mahala tuwe tunakubali na kuyapokea mabadiliko km yalivyo hasa yale chanya.ushauri wa msami ni sahihi kabisa ingawa kuna wengi watakaokuwa na tafsiri zao.na ww mleta uzi kwako shule unaitafsiri vp mpk uonyeshe kushangaa kwa kuulizia km kweli eti dogo shule hakuna.vyovyote iwavyo ujumbe ulikuwa ni mhusika aende shule kuongeza ujuzi.na si kila aendaye shule ni kwamba hana "shule" kichwani.ni hayo tu
Kamshauri vizuri dogo lasi. Japokuwa hii angemfuata angekuwa poa zaidi.
Marudio ya hicho kipindi ni lini?
Ifike mahala tuwe tunakubali na kuyapokea mabadiliko km yalivyo hasa yale chanya.ushauri wa msami ni sahihi kabisa ingawa kuna wengi watakaokuwa na tafsiri zao.na ww mleta uzi kwako shule unaitafsiri vp mpk uonyeshe kushangaa kwa kuulizia km kweli eti dogo shule hakuna.vyovyote iwavyo ujumbe ulikuwa ni mhusika aende shule kuongeza ujuzi.na si kila aendaye shule ni kwamba hana "shule" kichwani.ni hayo tu
Ni kweli inawezekana ana shule lakini haihusiani sana na sekta aliyopo na itakuwa ngumu kwake kupenya sehemu nyingine kama alipo Msami, ni ushauri muhimu.