Msami vs Diamond nani zaidi kudance

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Nani anajua zaidi kwenye dancing?
 
Huyo Msami simjui weka picha yake au weka clip yake tuone anavyocheza
 
Diamond hana ubunifu wowote, bila kuwa na choreographer mbele yake hakatizi. Dances zake ni routines, msami anaonekana ana ubunifu kidogo!
Swali: umewahi muona diamond akidance solo? Hata akidance solo nina uhakika atadance routines za group dance.
Solo inahitaji uwe na ubunifu.
Kibongo bongo kwa solo dancers hawa wa bongo flava bado sijamuona mkali. As a group, makomando wanajitahidi!!
 
Duh! Kweli Mkuu yani una mshindanisha Msami kwa kucheza na Diamond?

Hujamtendea haki Msani mi naona hivyo.
 
Msami fani yake ni dancing ndiko alikoanzia siyo kuimba hii kuimba imekuja baadae,kumlinganisha na Dai kwenye kudance ni vitu viwili tofauti.
 
Mambo mengine bana..... Mtoa mada kajitoa akili makusudi kabisa. Moze Iyobo vs Msami its ok. I
Msami fani yake ni dancing ndiko alikoanzia siyo kuimba hii kuimba imekuja baadae,kumlinganisha na Dai kwenye kudance ni vitu viwili tofauti.
 
Msami ndio huyo mramba lips kama demu??..sa kwa nn msimlinganishe na ommy dimpoz au hata kkadinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…