Msamiati wa Kiswahili: "Baadaye" na sio baadae au badae

Msamiati wa Kiswahili: "Baadaye" na sio baadae au badae

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Nimekuwa nikisoma kwenye machapisho mengi hasa magazeti ya kila siku kuna makosa sana ya uandishi wa neno hili BAADAYE. Wengi huandika BAADAE hayo kwa mujibu wa kamusi ya TUKI ni makosa. Neno sahihi ni 'Baadaye'.

Poleni na Msiba ndugu watanzania wenzangu.
 
Nimekuwa nikisoma kwenye machapisho mengi hasa magazeti ya kila siku kuna makosa sana ya uandishi wa neno hili BAADAYE. Wengi huandika BAADAE hayo kwa mujibu wa kamusi ya TUKI ni makosa. Neno sahihi ni 'Baadaye'.

Poleni na Msiba ndugu watanzania wenzangu.


Baadae na baadaye, baadaye= baada yake.
 
Uko sahihi kabisa
Nimekuwa nikisoma kwenye machapisho mengi hasa magazeti ya kila siku kuna makosa sana ya uandishi wa neno hili BAADAYE. Wengi huandika BAADAE hayo kwa mujibu wa kamusi ya TUKI ni makosa. Neno sahihi ni 'Baadaye'.

Poleni na Msiba ndugu watanzania wenzangu.
 
Back
Top Bottom