Msanifu Lugha Daraja II (Nafasi 1) BAKITA

Msanifu Lugha Daraja II (Nafasi 1) BAKITA

Jamii Opportunities

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
4,876
Reaction score
1,549
POSTMSANIFU LUGHA DARAJA II - 1 POST
EMPLOYERBaraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA)
APPLICATION TIMELINE:2022-06-14 2022-06-27
JOB SUMMARYNIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIESi. Kusaidia kufanya kazi za utafiti kuhusu istilahi za masomo mbalimbali;
ii. Kukusanya na kuchambua istihali mbalimbali kwa ajili ya usanifishaji;
iii. Kuandaa orodha ya istilahi mbalimbali kwa ajili ya kutayarisha kamusi ndogondogo za taaluma; na
iv. Kufanya kazi nyingine atakazopewa na mkuu wake wa kazi.
QUALIFICATION AND EXPERIENCEKuajiriwa wenye Shahada ya kwanza katika kozi za Ualimu au za Lugha zinazohusisha somo la Kiswahili kutoka katika chuo kinachotambuliwa na Serikali. Awe na uwezo wa kutumia kompyuta.
REMUNERATIONPGSS 6

CLICK HERE TO APPLY
 
Back
Top Bottom