kaobama ....!!RIP
Thanx God it's Friday, and i'm in the mood/
Got my pockets full of dough/ yeah it feels so good/
I'm East Africa's finest...like T.I.D, so everywhere that I go i'm strictly V.I.P./
at tha' back of the club, find me and my crew/
With hot chicks all around, what a rendezvous/
Ngwair's the last of the dead breed, and they were very few.
Na mama usijali lazima nikujengee mjengo
Iwe kwa kuuza huu muziki,drugs au meno ya tembo
Kabla sijasoma mazengo,nishapinda
Mi sio mgeni wa warembo so hii vita nitaishinda
Na masnich tutaishia kuonana kwa TV kwani kujuana sana,ndo kuharibiana CV
MAFIA ft Jaymoe
Albert Mangwea ni mmoja kati ya wanamuziki waliokuwa na upeo wa hali ua juu katika utunzi wa nyimbo! Pumzika kwa amani AlbertLeo ni miaka 6 toka tumpoteze moja ya wasanii wakubwa kuwahi kutokea katika ardhi hii ya Tanzania.
RIP Ngwair.
Albert Mangwea ni mmoja kati ya wanamuziki waliokuwa na upeo wa hali ua juu katika utunzi wa nyimbo! Pumzika kwa amani Albert