Msanii Ali Kiba avaa nguo za kike stejini, wanaume wakware wampigia miluzi

Huo ni ubunufu na ndio maana ya msanii. Ameonesha ubunifu wa hari juu sn. Mm c shabk ake hata kidogo ila kwahlo nampongeza sn. Kavaa mahali husika kwa lengo la kuonesha kipaji chake na ubunifu wake. Angelivaa kitaa kisha akazurura sawa ila stejn big up mzee. Kula noti achana na majungu maana hukua uchi
 
Huyu sio kipusa???!!Mzee ambaye alikimbia game karudi bado anakimbizwa na haishiwi sababu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…