Aristotle J8 Member Joined May 29, 2021 Posts 77 Reaction score 95 Aug 19, 2024 #1 Wanajukwaa naomba kuuliza ile kwaya ilioimba wimbo wa BWANA WAMABWANA ambayo ROSTAM wametumia sehemu ya wimbo huo kama kiitikio kwenye wimbo wa Kaka Tuchati, kwaya ile inaitwaje? Au msanii anaitwaje!?
Wanajukwaa naomba kuuliza ile kwaya ilioimba wimbo wa BWANA WAMABWANA ambayo ROSTAM wametumia sehemu ya wimbo huo kama kiitikio kwenye wimbo wa Kaka Tuchati, kwaya ile inaitwaje? Au msanii anaitwaje!?
edon66 JF-Expert Member Joined Feb 11, 2023 Posts 2,907 Reaction score 9,135 Aug 19, 2024 #2 Bwana wa bwana ,MUNGU wa majeshi ,nani km wewee Wimbo wa manabii matapelii pale wanapowalanguwa waumini wao.....
Bwana wa bwana ,MUNGU wa majeshi ,nani km wewee Wimbo wa manabii matapelii pale wanapowalanguwa waumini wao.....
Dr am 4 real PhD JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 11,640 Reaction score 24,066 Aug 19, 2024 #3 Bwana wa mabwana.... MUNGU wa miungu....alfa na omega nani Kama wewe bwana..
Mzee Rufiji JF-Expert Member Joined Aug 24, 2024 Posts 261 Reaction score 395 Aug 24, 2024 #4 Dr am 4 real PhD said: Bwana wa mabwana.... MUNGU wa miungu....alfa na omega nani Kama wewe bwana.. Click to expand... Hapa alikuwa anataka JPM
Dr am 4 real PhD said: Bwana wa mabwana.... MUNGU wa miungu....alfa na omega nani Kama wewe bwana.. Click to expand... Hapa alikuwa anataka JPM
Dr am 4 real PhD JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 11,640 Reaction score 24,066 Aug 24, 2024 #5 Mzee Rufiji said: Hapa alikuwa anataka JPM Click to expand... Sasa JPM kafanyaje mkuu..