K kashwagala Senior Member Joined Mar 10, 2010 Posts 116 Reaction score 17 Jun 28, 2010 #21 Hii nchi kiboko! kila mtu sasa anaota kuwa mbunge,jamani tunakwenda wapi?
RRONDO JF-Expert Member Joined Jan 3, 2010 Posts 55,727 Reaction score 123,094 Jun 28, 2010 #22 kashwagala said: Hii nchi kiboko! kila mtu sasa anaota kuwa mbunge,jamani tunakwenda wapi? Click to expand... kwani hao wabunge waliopo wamefanya nini kuonyesha wako special??madudu wanayofanya ndio yanayofanya kila "TOM AND DICK" kuhisi anafaa kuwa mbunge
kashwagala said: Hii nchi kiboko! kila mtu sasa anaota kuwa mbunge,jamani tunakwenda wapi? Click to expand... kwani hao wabunge waliopo wamefanya nini kuonyesha wako special??madudu wanayofanya ndio yanayofanya kila "TOM AND DICK" kuhisi anafaa kuwa mbunge
HKigwangalla JF-Expert Member Joined Feb 6, 2008 Posts 722 Reaction score 971 Jun 29, 2010 #23 kussy said: Bora angegombea Mr 2, ana a lot of WASHABIKI Mr 2 uko wapi? 2ngaza nia 2takupa kura Click to expand... Nimesikia Sugu naye ametangaza nia kugombea huko Mbeya kwa kupitia CHADEMA, hivi ni kweli?
kussy said: Bora angegombea Mr 2, ana a lot of WASHABIKI Mr 2 uko wapi? 2ngaza nia 2takupa kura Click to expand... Nimesikia Sugu naye ametangaza nia kugombea huko Mbeya kwa kupitia CHADEMA, hivi ni kweli?