Msanii atumia Tsh Bilioni 230 kununua ndege yake

Msanii atumia Tsh Bilioni 230 kununua ndege yake

tatum

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2018
Posts
5,786
Reaction score
4,491
Msanii Drake atumia TSh. Bilioni 230 kununua ndege yake




Msanii wa muziki Marekani, Drake amethibitisha kumiliki ndege yake binafsi 'Air Drake' ambayo ni Model 767 yenye vyumba viwili vya kulala na logo zake zote za Ovo na Mikono yenye ishara ya maombi.

Kwenye video ya ndege hio anasikika Drake akisema 'Hakuna kukodi, Hakuna mmiliki mwenza'. Dili hili limewezeshwa na rafiki wa muda mrefu wa Drake ambaye ni Rais na Mkurugenzi mtendanji 'C.E.O' Wa Cargojet Airways Ajay Virmani.

Inadaiwa kuwa ndege hizi hutengenezwa kwa ada ya zaidi ya TSh. Bilioni 230. DJ Khaled alimpongeza Drake kwa hatua hii kwa kusema 'Hongera, nakumbuka uliniambia jambo hili miaka miwili iliyopita'.
 
Itamfirisi hii, E entertainment walikuwa wakizungumzia gharama za kuitunza na kuipaki Nchini kwao Canada ni balaa wanadhani maisha yake mengi yatakuwa Jimboni California, US na Si Toronto, Canada.
 
Mzee wenzetu si kama bongo.. hapo consultant(s) walishayajua hayo yote na Flow yote ikaridhiwa.. so i think he knows what he is doing.
Itamfirisi hii, E entertainment walikuwa wakizungumzia gharama za kuitunza na kuipaki Nchini kwao Canada ni balaa wanadhani maisha yake mengi yatakuwa Jimboni California, US na Si Toronto, Canada.
 
Mzee wenzetu si kama bongo.. hapo consultant(s) walishayajua hayo yote na Flow yote ikaridhiwa.. so i think he knows what he is doing.
Yes hata wachambuzi walizitaja gharama lakini drake mwenyewe hakaweka wazi kama litakuwa dege la biashara ama la binafsi, hivyo wachambuzi wakasema atafilisika kwa kuuza majumba yake ili kulihudumia dege
 
Naomba kukuuliza maana unaonekana unaufaham fulani hiv, hv kama unamiliki ndege je gharama za parking uw
Itamfirisi hii, E entertainment walikuwa wakizungumzia gharama za kuitunza na kuipaki Nchini kwao Canada ni balaa wanadhani maisha yake mengi yatakuwa Jimboni California, US na Si Toronto, Canada.
 
Naomba kuuliza swali maana unaonekana unaufaham fulani hv, "hv kama unamiliki ndege gharama za kuipaking uwanjan yaan kama huna matumiz nayo unalipia au huwa zinaegeshwa tu maana wenzetu swala la kumiliki ndege ni jambo la kawaida sana, mfano hata huku kwetu tubavyoona fastjet je huwa wanalipia pindi zikikaa uwanja wa ndege au hata zikiwa zinataka kiruka na kutua ndo hilo tu naomba unijibu kama unaufahamu nalo.
Itamfirisi hii, E entertainment walikuwa wakizungumzia gharama za kuitunza na kuipaki Nchini kwao Canada ni balaa wanadhani maisha yake mengi yatakuwa Jimboni California, US na Si Toronto, Canada.
 
The most pathetic thing- one can do unless you are so stashed with cash, like Bill Gates. If you dont have a billion dollar income worth then its the biggest liability.
Mkuu Uko sahihi kabisa,
Ni Drag dealer tuu watakaofurahia...
Ana Kipato gani Cha Kuingiza Billion I kila wakati mapaka Amiliki hivyo?
Bill gates na Kina Mark zuckerberg wa Face book hawana vitu hivyo,na Hapo Watu weusi watamsifia sana bila Kusahahu wakina Dada wasiojielewa!
 
Back
Top Bottom