Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Na ukishaingia kule ni ngumu kuwa succesful ukijitoa kundini, watabana mianya yako yote ya mkwanja. Mi nawashauri wasanii wenye ndoto ya kufanya vizuri kwenye muziki na kupiga mpunga wasijiingize kule, kama ni wa kutoka utatoka tu hata bila ya promo ya kipekee wanayopewa THTYupo THT kule ni kuzimu hawezi toka na kupiga PESA nyingi kama wenzie
ATACHELEWA SAAANA
Na akitoka ndo mwisho wake Kama recho amini ruge Hana utaniYupo THT kule ni kuzimu hawezi toka na kupiga PESA nyingi kama wenzie
ATACHELEWA SAAANA
Labda alipatwa na tatizo la kiuchumi, kwa Godfadher kunahitaji uwe umekamilika haswaa.Moja ya vichwa navyo vielewaga kwenye game ya bongo sitomwacha kumtaja msanii na mtunzi Barnaba anajielewa sana ni ngumu kumkuta anapost ujinga au kuongea kwenye media kitu kitakacho wakwaza wananchi.
Kwangu naweza sema ni zaidi ya Diamond na Ali Kiba ila anajisahau sana katika kazi, hapa kati katoa nyimbo nzuri zaidi ya hizi nazozisikia inaitwa nakutunza lakini mpaka leo ajafanya video, kuna nyimbo pia inaitwa wanifaa ni nyimbo nzuri lakini mpaka leo kimya hamna video hamna promo yoyote.
Kwani sasa ndio ana nini cha maana hapo THT?Na akitoka ndo mwisho wake Kama recho amini ruge Hana utani
THT wanabaniwa sanaYupo THT kule ni kuzimu hawezi toka na kupiga PESA nyingi kama wenzie
ATACHELEWA SAAANA
Hana ila akitoka wanakata nyayaKwani sasa ndio ana nini cha maana hapo THT?