pacesetter
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 255
- 306
hold on a minute gyz.... kwa hiyo wimbo huu mmoja tu ndo umezifuta zake zote kali za nyuma
..... Pete... Samboira....Nikikupata......... etc.
Hakika nchi hi si nzuri kwa wasaniii,, Na sisi wenyewe ndo tunawasababishia STRESS.....mpaka wanaamua anza matumizi ya vileo...
Ben Pol endelea na kazi.. Songa mbele.. evrybody has haters. JESUS had haters,who r we??????
Atakuwa mwizi kama wezi wengine awatake radhi watz
na wasanii alowabania kwenye tuzo kwa wimbo wake wa kukopy
hakuna kama belle 9. hata asipopata tuzo... yeye ni jiwe lililokataliwa na waashi
Nilitaka kushangaa pimbi kama ben pol kapata akili wapi ya kuandika nyimbo kama ile.sasa nimeamini
Bell 9 hajacopy nyimbo ya amerudi ila producer wa ile bit ndo amecopy baadh ya midundo ila ben pol alichofanya ni kama walivyofanya kina TIMBULO , T.I.D kukop melody mpaka mistal kaifasiri tu kutoka kiingereza kwenda kiswahilikama tunawajudge kwa kigezo cha nani hajawahi kucopy basi hata Belle 9 naye wimbo wa 'Amerudi' kacopy kutoka kwa Rick Ross (cfaham jina la wimbo)
Sasa hii crown ya RnB king cjui tumpe nan?
Nyimbo mpya ya msanii Ben pol inayoitwa JIKUBALI ni copy and paste ya mwanamuzik wa america anayeitwa The script au William!! Ben pol ameigiza kila kitu kuanzia tune, melody, lyrics, chorus!! nimeweka hapa links za nyimbo zote mbili ili uweze kujionea mwenyewe!
The Script - Hall of Fame ft. will.i.am - YouTube-hii ni ya The Script
Ben Pol - JIKUBALI (Official Music Video) - YouTube- hii ni ya Ben pol
UNAWEZA KUZICHEKI THEN UTOE MAONI YAKO, NIMEZIKILIZA SANA NAONA ZIKO THE SAME
'ACHA KUPIGA MAYOWE' umesahau ee kwamba alikopi?:whoo:
ni kwel kabsa data!
Hii mada ishazungumziwa mkuu
mi sikubahatika kuiona,,,,
Idiot...